makala


 

 Mkanyago watokea katika kivuko Kenya

 




 
 

  Ripoti zinasema kuwa mkanyagano umetokea katika kivukio cha Ferry katika eneo la Likoni huko Mombasa Kenya na kuwajeruhi watu kadhaa

Tukio hilo limejiri baada ya ferry tatu zinazoendesha oparesheni zake katika kivuko hicho kukabiliwa na matatizo ya kiufundi.

Kulingana na ripoti hizo Ferry zilizosalia zimeshindwa kuhudumia idadi kubwa ya watu wanaotumia kivuko hicho pamoja na ile ya magari.

Hatua hiyo imesababisha msongamano mkubwa wa watu katika kivuko hicho.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni